Burudani

Lupita Nyong’o ageuka dhahabu kwenye fashion, brand kubwa zaomba kumvalisha kwenye Oscar

Uigizaji wake kwenye filamu ya 12 Years A Slave umekuwa gumzo kwenye Hollywood – na sasa Lupita Nyong’o ni dhahabu kwenye ulimwengu wa fashion pia.

lupittt

Brand kubwa za Uingereza zikiwemo za Stella McCartney na Alexander McQueen, zinamuomba staa huyo wa Kenya kuvaa magauni yake kwenye tuzo za Oscar. Lupita ambaye ametajwa kuwania tuzo ya muigizaji bora msaidizi wa kike kwenye Oscar, alivaa nguo ya Dior kwenye red carpet ya tuzo za BAFTA.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents