BurudaniDiamond PlatnumzHabari
Mahaba ya Diamond kwa mtoto wake
Siku ya jana staa wa Bongo Fleva na C.E.O wa lebo ya WCB Naseeb Abdul alimaarufu @diamondplatnumz alisafiri mpaka jijini Nairobi nchini Kenya ingawa haikujulikana amefuata kitu gani.
Baada ya muda kidogo alionekana akiwa na na mtoto wake #NaseebJunior ambaye amezaa na Tanasha kutoka nchini humo.
Kupitia Insta stori yake ame share video kadhaa akicheza na mtoto wake. Mbali na hilo @tanashadonna pia ameshare kupitia insta stori yake.
📸 via @diamondplatnumz Written by @el_mando_tz