Michezo
Mashabiki wa Yanga walivyojaa makao makuu ya klabu hiyo Jangwani kununua jezi na tiketi (+ Video)
Hayo ni maneno ya mmoja wa shabiki wa Yanga akiahidi na hapa ni mbele ya makao makuu ya klabu hiyo Jangwani. Swali lilikuwa ni kwamba kwa Project hii kubwa ya Yanga endapo isipofanya kazi yaani kuchukua ubingwa mwakani unahidi nini …..?
Shabiki moja amejibu kuwa anaacha kushabikia Yanga kama ilivyokuwa mwanzo huku mwingine akiahidi ataamini uchawi upo.