Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Mashindano ya BSS yazinduliwa rasmi, huu ni msimu wa 13
Siku ya jana mashindano ya BONGO STAR SEARCH BSS hapa jijini Dar Es Salaam. Akiongea na wana habari muanzilishi wa mashindano hayo Madam Rita ameeleza namna walivyopitia changamoto mbalimbali.
Ameongeza kuwa huu ni msimu wa 13 wa BSS na ameeleza kuwa wana mambo makubwa sana ya msimu huu kwani kuna mambo mengi yamebadilika hasa majaji watakaosimamia shindano hilo.