FahamuHabari

Massage ziwe sehemu za kuunganisha ndoa na sio kuvunja ndoa – Gloria

Mara nyingi katika Jamii kumekuwako na kasumba mbalimbali kuhusu Suala zima la Masaji huku asilimia kubwa ya watu kwenye jamii huzani Masaji ni uhuni

Leo Mwana Dada Gloria Kasmili ambaye aliwahi kushiriki kwenye Mwanamke wa Shoka hatimaye amefunguka kwa kina juu ya Swala hili huku akitoa ufafanuzi mpana zaidi

Aidha Gloria Amefanikiwa kuongeza na kupanua biashara yake ambapo amezindua sehemu ya Masaji ya VVIP Maweni Kijaruba Kigamboni.

Ameongeza kuwa kwenye biashara yoyote ile lazima kuzingatia ubunifu na pia mteja anapofika sehemu anayotakiwa kupewa huduma anatakiwa kuhudumiwa bila kuwa na kero wala usumbufu wowote.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents