Habari
Mbunge Jaguar akamatwa na polisi Kenya kwa uchochezi na ubaguzi (Video)
Mbunge wa jimbo Starehe la nchini Kenya, Charles Njagua maarufu Jaguar amekamatwa na polisi nchini humo akiwa eneo la jengo la Bunge kwa madai ya kutoa vitisho dhidi ya wafanyabiashara wa kigeni.
Tayari serikali ya Kenya imetoa taarifa hii.