Habari
Diamond alamba dili la ubalozi, aandika ujumbe huu
Staa wa Muziki Afrika @diamondplatnumz, ameufungua Mwezi wa Mei Kibabe baada ya Kampuni ya SBL ( Serengeti Breweries Limited) inayozalisha Bia za @serengetipremiumlite kumtangaza Rasmi kuwa Balozi Mya wa Vinywaji Hivyo (Brand Ambassador )
Kupitia Kurasa Zao SBL Wameandika : “Tunafurahi Kumkaribisha Rasmi @diamondplatnumz kwenye familia ya Serengeti.
Diamond ni mwakilishi sahihi wa mtanzania mwenye hamasa, uthubutu na uaminifu.
Umashuhuri wake na uhusiano wake wakaribu na wateja wetu, unamfanya awe balozi bora