Burudani
Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014
Mrembo aliyezaliwa Ethiopia, Meron Wudneh ameshinda taji la Miss Africa USA 2014.
Meron, aliyewashinda warembo wengine 20, akiwemo wa Tanzania, ni mrembo wa kwanza kutoka nchi hiyo kushinda tangu lianzishwe miaka tisa iliyopia.
Mwaka jana taji hilo lilienda kwa Kathy Onmu kutoka Nigeria.