Muimbaji wa gospel, Angel Benard amejifungua mtoto wa kiume Alfajiri ya Jumatano hii.
Angel alifunga ndoa na Godsave Sakafu mwaka jana. Ametangaza habari hizo njema kupitia Twitter.
Hivi karibuni Angel aliachia video ya wimbo wake ‘Salama’ uliopo kwenye album yake, New Day.
Pongezi kwa mama na baba wa mtoto huyo.