Burudani
Muimbaji wa Kenya, Avril afiwa na baba yake
Muimbaji wa Kenya, Avril, amefiwa na baba yake mzazi Jumanne ya wiki hii.
Tovuti ya Tuko imeripoti kuwa baba yake alifariki kwa ugonjwa wa moyo uliomsumbua kwa miaka mingi. Umedai kuwa alipata mshtuko wa moyo wiki chache zilizopita na kulazwa kwenye wodi ya wagonjwa mahututi. Aliruhusiwa baada ya kupata nafuu.
Avril amepost picha hiyo chini na kuandika: Rest Now..