Burudani

Mwakilishi pekee wa WCB katika jukwaa la Fiesta Dar alivyowasha moto (Video)

Msanii wa muziki Rich Mavoko ndiye aliyekuwa msanii pekee wa label ya WCB katika Tamasha kubwa la Fiesta mwaka 2018 tofauti na miaka iliyopita. Muimbaji huyo alipanda stejini hapo akiwa na dansa wake na kuimba nyimbo zaidi ya 4 pamoja na wimbo ‘Zilipendwa’ ambao unaliwakilisha kundi hilo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents