Mwanafunzi Prosper Oluwafunmibi Babalola wa Nigeria, ana uwezo wa kuzungumza lugha 21
Moja ya video inayosambaa mitandaoni ni hii ikimuonyesha Mwanafunzi kutoka nchini Nigeria, Prosper Oluwafunmibi Babalola ambaye ameleeza kuwa anauwezo wa kuzungumza lugha 21.
Baadhi ya lugha alizoziorodhesha kuwa ana uwezo wa kuzizungumza ni pamoja na:-
1. Kiyoruba,
2. Kihausa,
3. Kizulu,
4. Twi,
5. Kijerumani,
6. Kihispania,
7. Kihindi,
8. Kiigbo,
9. Kikorea,
10. Kijapani,
11. Kirusi,
12. Kichina,
13. Kiindonesia,
14. Kiholanzi,
15. Kifaransa,
16. Kilatini,
17. Hangul,
18. Kiitaliano,
19. Kiingereza,
20. Egun,
21. Igede.
Kwa namna unavyojifahamu wewe una uwezo wa kuzungumza lugha nhapi 🤓🤔.
Moja ya video inayosambaa mitandaoni ni hii ikimuonyesha Mwanafunzi kutoka nchini Nigeria, Prosper Oluwafunmibi Babalola ambaye ameleeza kuwa anauwezo wa kuzungumza lugha 21.
Baadhi ya lugha alizoziorodhesha kuwa ana uwezo wa kuzizungumza ni pamoja na:- pic.twitter.com/h7LrUTfZKz
— bongo5.com (@bongofive) September 7, 2022