Habari
Mzee Majuto hali yake si shwari, alazwa tena ICU Muhimbili
Afya ya mchekeshaji mkongwe nchini Tanzania, Mzee Majuto bado sio nzuri kwani amelazwa tena katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jumanne ya wiki hii.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Hospitali ya Muhimbili, Aminiel Aligaesha ndiye aliyethibitisha taarifa hizo za kulazwa kwa Mzee Majuto.
Hii inakuwa mara ya pili kwa mchekeshaji huyo kulazwa katika Hospitali ya Muhimbili kwani mapema mwaka huu alilazwa Hospitalini hapo kabla ya kupelekwa India kwa matibabu zaidi.
SOMA ZAIDI – Mzee Majuto arejea nchini akitokea India
Duuuuu
Mungu akuongoze mzee
Quick recovery mzee
Daah Mungu ampiganie
Mungu ampiganie
Yooo pole Mungu amuokowe mwarimu wetu kisinema
Mwenyezi Mungu ampiganie
Mungu amtangulie
Mungu atamsaidia
Mungu hamlinde mzee wetu
Mungu akusaidie upone haraka
Pole mzee wanguo
Utapona mzee
Mungu yuko pamoja na ww nimitihan tu baba
Pole sana MZEE wetu
.Mungu atakunyoshea mkono wake wauponyaji utapona
mungu amfanyie wepesi
Mungu akuponye
Atapona tuu