Habari
Maneno ya DC Jokate Mwegelo wakati wa kuapishwa ‘sitatoa siri za ofisi labda kwa idhini ya Rais’ (+video)
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo ameahidi kulinda siri zote za ofisi yake labda itokee tu idhini ya kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo atakapofanya hivyo.
Pongezi sana DC Jokate Mwengelo, from grass to grace God is able .
Hongera joketi mungu akutangulie