Habari
Nape Nnauye: What a loss!! mwamba mwenye sifa halisi za kusini, pumzika baba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli ametangaza kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Tanzania Benjamin William Mkapa.
Baada ya taarifa hizo za msiba wa rais mstaafu Benjamin Mkapa, Nape Nnauye ameadika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Twitter:
What a loss!!! ! Nakumbuka sana Upendo, Malezi na Busara zako nikiwa Mkuu wa Wilaya Masasi!Aaah, mwamba mwenye sifa halisi za kusini, what a loss!! Pumzika baba!
What a loss!!!🙆🏿♂️🙆🏿♂️😭😭! Nakumbuka sana Upendo, Malezi na Busara zako nikiwa Mkuu wa Wilaya Masasi!Aaah, mwamba mwenye sifa halisi za kusini, what a loss!! Pumzika baba! pic.twitter.com/3CcjegP7qN
— Nape Moses Nnauye (@Nnauye_Nape) July 24, 2020