Habari
Ndugu na mtoto wa marehemu Kingunge, KINJE azungumza kwa mara ya kwanza (+video)
Usiku wa leo Ijumaa tarehe 02 Februari 2018, Taifa la Tanzania limepoteza mtu muhimu katika siasa ambapo Mwanasiasa mkongwe Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ameaga dunia katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kufuatia msiba huo mtoto wake wa kwanza wa mzee Kingunge na ndugu zake wameongea juu ya msiba huo na kuweka wazi mipango ya mazishi ya marehemu.