Burudani

Nisamehe ya Barakah Da Prince na Alikiba kuachiwa Jumanne

Baada ya mashabiki kuisubiria kwa hamu collabo ya kwanza ya label mates wa Rockstar4000, Barakah Da Prince na Alikiba, sasa imethibitishwa kuwa wimbo wao ‘Nisamehe’ utaachiwa Jumanne, Septemba 13.

14027180_163797870694711_988910182_n

Tarehe hiyo imethibitishwa na Barakah kupitia Twitter.

72ba243e-002b-4b0f-be6e-88b90f8cbcde

Video ya ngoma yao ilifanyika wiki kadhaa zilizopita nchini Afrika Kusini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents