Habari

Panya wanaopima ugonjwa wa kifua kikuu kwa sekunde 3 (Video)

Taasisi ya Apopo ya Tanzania ambayo ilikuwa inawafundisha Panya kutegua mabomu, safari hii wamekuja na panya ambao wana uwezo wa kupima ugonjwa wa kifua kikuu TB kwa sekunde 3 ambapo ndani ya dakika 20 wanaweza kuwapima TB wagonjwa 150.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents