Burudani

Picha: Jacqueline Wolper athibitisha kuvalishwa pete ya uchumba

Msanii wa filamu, Jacqueline Wolper amethitisha kuvalishwa pete ya uchumba na kijana anayetambulika kwa jina la Engine.

Muigizaji huyo ambaye alikuwa kwenye mahusiano na kijana Brown mwezi mmoja na nusu iliopita, alisafiri na mpenzi wake huyo mpya mpaka mkoani Kimanjaro na kuvalishwa pete ya uchumba mbele ya wazazi wake.

“Mjivuni nachagua yakunifaa kwa hii kidoleđź”’#engagement #abouttobemrssomebody
#can’twaitformyweddingday,” aliandika Jack Instagram.

Naye mume wake huyo mtarajiwa ambaye anatambulika kwa jina la Engine, amesema ni kweli amemvalisha pete mrembo huyo wa Bongo Movie na kinachosubiriwa kwa sasa ni ndoa kwa kuwa tayari ameshalipa na mahari.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents