Habari
Picha: Kampeni ya usafi ‘UsijifanyeMstaarabuKuwaMstaarabu’ yaanza kwa kasi
Kampeni ya usafi ‘UsijifanyeMstaarabuKuwaMstaarabu’ iliyoanzishwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda imeanza kwa mafanikio asubuhi hii baada ya wadau mbalimbali pamoja na mastaa wa muziki kujitokeza kwa wingi.
Diamond, Ruge Mutahaba pamoja na mwanamitindo Millen Magese
Bongo5, imekukusanyia picha za matukio mbalimbali ya usafi kutoka katika sehemu mbalimbli za jiji la Dar es salaam, kabla ya kwenda Leaders Club ambapo Makonda atazindua ramsi kampeni hiyo pamoja na kuzungumza na wananchi kuhusu kampeni hiyo.
Diamond na wadau wengine katika usafi
Sisters wakiwa kazini
Wananchi wakiwa wamejitoka kwa wingi
Raymond kutoka WCB akiwa na Diamond