Burudani

Picha: Nay aeleza jinsi yeye na Stan Bakora walivyo gawana majukumu ndani ya video ‘Shika Adabu Yako’

Msanii wa muziki wa Hip Hop Nay wa Mitego amesema ndani ya video yake mpya ya wimbo ‘Shika Adabu Yako’ amecheza kama bosi msela akiwa ofisini huku Stan Bakora akimletea document mbalimbali ambazo anatakiwa kuzishughulikia.
page

Licha ya wimbo huo kufungiwa na Basata, rapa huyo ameiambia Bongo5 Alhamisi hii kuwa, video hiyo inatoka hivi karibuni huku iliwa na vitu vingi vya kuvutia.

“Sijaenda Kenya nimeshoot hapa hapa lakini naimani ni video ambayo watu wataifurahia zaidi tofauti na kwenye audio. Kitu ambacho naweza kuweka wazi kuhusu video hii kwa sasa, kama watu walivyoona kwenye picha nipo kwenye ofisi, mimi namwonekano wa kisela, kwenye ofisi mimi na kazi moja na kazi yangu itaonekana kwenye video pamoja na Stan Bakora lakini nazani pia picha zinajieleza zaidi,” alisema Nay.

Hizi ni picha za uandaaji wa video hiyo.

gg

gg.jpgd

gg.jpgdg

hhh

Q Chief na Hanscana

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents