Michezo
Picha: Tazama nyota wa Man United wakiwasili Old Trafford na magari ya kifahari tayari kuikabili Swansea
Nyota wa Manchester United wamewasili kwenye viwanja vya Carrington asubuhi ya leo tayari kujiandaa na mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza wikiend hii.
Takribani wachezaji wengi wa United wamewasili baada ya kutoka kuzitumikia timu zao za taifa wiki iliyopita na sasa wapo tayari kuikabili klabu ya Swansea siku ya Jumamosi mchana.
Mourinho anarejea mapumziko akiwa na kibarua kikubwa cha kupunguza gepu la pointi 16 dhidi ya vinara wa ligi hiyo Manchester City.