Habari
Rais Magufuli ampongeza RC Mbeya kwa kuwachapa wanafunzi viboko (Video)
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila kwa kuwachapa viboko wanafunzi wa shule ya sekondari Kiwanja wilayani Chunya kwa madai ya kuchoma mabweni ya shule.