Habari
Rais Magufuli awaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni ‘Nendeni mkawatumikie wananchi hasa wanyonge’ (+Video)
Rais Magufuli leo Jumapili Oktoba 20, 2019 amewaapisha viongozi hao ambao ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI na Balozi mmoja.