Habari
Rais Samia Suluhu kuwaapisha wakuu wa mikoa, taasisi Jumatano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan atawaapisha Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Taasisi siku ya Jumatano ya tarehe 19 Mei,2021 kuanzia saa 4:00 asubuhi badala ya siku ya Jumanne tarehe 18 Mei, 2021 ambayo ilitangazwa awali.