Staa wa muziki wa Bongo Fleva @rayvanny ameonekana akiwa na ataa namba moja wa mtandao wa TikTok duniani @khaby00
@khaby00 ana zaidi ya followers milioni 161.8 TikTok akiwa anaongoza kwenye Mtandaoni huo.
@khaby00 ni raia wa Italia lakini ana asili ya Senegal.
Khaby ni staa ambaye ana ukaribu na mastaa wengi wakubwa duniani akiwemo Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe na wengine.