Burudani
Rich Mavoko aachia video ya wimbo Ndegele, aonekana kuichokonoa WCB
Ijumaa hii msanii wa muziki, Rich Mavoko ameachia video ya wimbo wake ‘Ndegele’ ikiwa ni video yake ya kwanza toka aingie kwenye mgogoro na WCB, label ambayo amefanya nayo kazi kwa miaka 2.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya kazi akiwa katika kampuni yake ya Billionea kid, siku ya jana alidaiwa kuachia teaser ya video yake huyo ambayo inaonekana kuwa na maneno kuhusu WCB.
Kweli eeeenhh ivi anajiona nani haswa
kabaki kichwa,,,,, tu
Stressful
Nn
Nyimbo mbovu Kuna tu
Haelewk ata anaimba nn.hakika tabu zitampata sana
Kieeehhh
Ajibebe tyu wcb nomaaa
Mbna kafanana na chidibenz
isiyokua mbovu ipi
Nn
Hana jipwaa
Anatafuta kiki kupitia wasafi huyo
Kazi mbovu sana alafu mchizi kaisha mbaya.
Miwani daaaaaa imezidi kichwaa
Tatizo lako una imba kwa hasira mzee Yan Uta isoma namba paka Uta tamani kurudi wcb una jipya Tena
Kaonesha ubunifu,hongera kwake kaz nzur
Wcb ni empire
Kawachokonoa sehemu gani
Kaunda Daudi kwangwaru
sawa but kwa wengine inaweza kuwa mbovu pia
mamae leo mnamponda mwanzo mlimsifia akifanya vizur utaskia oooh kule palikuwa cyo ulifanya vizur kutoka shabiki upepo
One man army acheni pumba
Subilia kuwekewa sumu kama mwenzio ommy
Amebakisha kichwa tu! Asee
Msenge #wcb4life
Au ndio jamaa walimnyonya🤣🤣🤣
Kwani hujasikia kama jamaa alikua ananyonywa😂😂😂
Atatamba kwa muda
Km umetazama hii video utagundua nguo alizoenda nazo basata ndio kashotia….. Alafu video ina chekesha zaidi ya mama chogo
Kwani ww unamsaada gani kwake yani binadamu bhana kwaini mtu akionekana kama ameyumba mnachongaga sana
Akn wakuixhnd wcb an no nmaaaaaaaaaaaaa