Burudani

Rose Ndauka awa mtangazaji mpya wa East Africa Radio

Rose Ndauka amepata shavu jipya la kutangaza East Africa Radio.

Kupitia mtandao wake wa Instagram, muigizaji huyo amethibitisha hilo kwa kuandika ujumbe unaosomeka, “Nafurahi kuwa mmoja wa team hii mpya ya #Eastafricaradio.Ni planetbongo mpya 2017.”

Awali Ndauka alikuwa akitangaza Times FM kabla ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwaka jana.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents