Aliyekuwa mchezaji wa Liverpool mzaliwa wa Senegal Sadio Mane rasmi amejiunga na klabu ya Bayern Munich kutoka nchini Ujerimani.
Mane ameitumikia Liverpool kwa taribani miaka 6 akijiuna na wakali hao akitokea Sputhampton mnamo mwaka 2016.
Mane amesaini mkataba ambao ataitumikia Bayern mpaka mwaka 2025