Habari
Serikali yatoa tamko kuhusu watumishi walioondolewa kwenye mfumo wa malipo ya mshahara
Serikali imetoa kauli kuhusu Watumishi walioondolewa kwenye mfumo wa malipo ya mshahara kwa kukosa sifa ya cheti cha kufaulu mtihani wa kidato cha nne.
Hili ndio tamko la serikali kuhusu watumishi walioondolewa kwenye mfumo wa malipo;