Sikuwahi kuolewa, najua tunakokwenda wanawake watakuwa na nguvu kuliko akina baba – Mh. Anne Makinda (+video)
Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Anne Makinda ameelezea historia yake fupi ya maisha toka enzi anasoma hadi kuja kufanikiwa kuwa kiongozi mkubwa bungeni.
Mhe. Makinda amesema maisha yake yote yalikuwa bungeni na kipindi hicho amesema kuwa alikuwa na fujo sana kuliko hizi ambazo zinafanywa na baadhi ya wabunge wa vyama vya upinzani bungeni.
“Mimi maisha yangu yote yalikuwa bungeni, mimi mwenyewe kama kuwa mtu wa fujo i was of those.. nilikuwaga backbencher nilikuwa na fujo nawambia ndugu zangu akina Tundu Lissu kuwa kwanza nyie hamuwezi kunifikia mimi,“amesema Anna Makinda.
Akielezea upande wa mahusiano Bi. Makinda amesema yeye hakuwahi kubahatika kuolewa na amewaasa wanawake waliokwenye ndoa kuwa makini sana pale wanapopata mafanikio kwani ndio kipindi cha kushirikiana karibu sana na wanaume zao ili kufika mbali.
“Mimi sikuwahi kuolewa lakini nilipopata mtoto wangu, aliyenisaidia sana ni dada yangu. Kwa hiyo nikiwa shuleni tu IDM nikipata ile shilingi 20 kumi napeleka kwa dada, 10 nabaki nazo kwa hiyo toka huko nilikuwa nafanya kazi I have to survive .“amesema Bi. Makinda na kusisitiza jambo kwa wanawake walioolewa.
“Tunakokwenda najua kabisa akina mama watakuwa na nguvu zaidi kuliko akina baba, na ndio maana nawa-advice pia tujifunze kuwapenda hawa watu. Kwa sababu kama wewe ni Couple umeolewa halafu unakuwa successful kuliko mume wako, usipoweza kumeneji hiyo anaweza kukuharibia hata wewe, ni vizuri kumshirikisha ikawa ile successful yako ikawa ni part ya familia yako au successful ya couple yenu,“amesema Anne Makinda akielezea historia yake kwenye mahojiano na TGNP Mtandao, tazama video hapa chini.
Mhe. Anne Makinda ndiye mwanamke wa kwanza nchini Tanzania kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na alishawahi kuhudumu pia kwenye shirika la UNICEF .
Wanawake juu
kweli kabisa
Anamatatizo wanawake kuwa na nguvu kuliko wanaume haiwezekani hata kwenye imani zote za dini zinasema mwanamke atakuwa chini ya mwanaume na atamtii mume wake wanaume tuheshimike jamani
Una jidanganya mama
Jidanganye sana. Ushawahi ona wapi ktk maandiko mwanamke kanzidi mwanaume. Au unaota eee
Fikra potofu
Sahau hyo mama kifa tu kwa amani.
Ndivo mnavyowaza wanawake duniani kote mnafeli Tembo hata akonde vipi hawez kuwa kama swala
Amejisahau ayo kayatoa Wapi.na umri huo ata ndoa ya kimya kimya atawashauri nini wenzie.ajaolewa ao anataka kuowa ao ni njinsia 1 tumuelewe jamani kapotea
Ndo unavijidanganya,,,
Mbona lishatimia hilo.si unaona siku hizi Wanaume ndo wanaongoza kwa kuhama vyama eti hawapati malezi mazuri.!!😀😀😀 Ila huyo Mh.Makinda hata kama angeolewa labda aolewe na Mjeshi maana sio kwa sura hiyo!!
Mungu ameshagawanya madaraka hivyo mwanaume atakla kwa jasho lake na mwanamke atazaa kwa uchungu
Mwanamke mwenye akili awez sapoti. Upuuz huu
alisemaga bangi ya wapi ni kali sana
Nan anapenda kusomewa vifungu vya sheria!!!
Mimi nitamuowa aweke wazi tu kama anahitaji kuolewa
Haya makubwa sasa
Sasa kwa ilo lisula lako uolewe na nan
Duu.kwamana hiyo hana mtt
Kaaa ivo ivo
😂😂😂😂😂😂😂
Cha arusha hicho
Wajinga nao huzeeka. Akasome maandiko kwanza
HA HA HAAAA
Mama usitudanganye wanawake wenzio kasome habar ya Yezebeli ndo utajua kua Mungu alikua na maana yake kugawa majukumu
Uyu Adela nae vipi uyu…
Mavi ya kunya.
hahaha unataka wafuasi kwa nguvu ……………we can never be equal never
Mwanamke kujikomaza komaza kama mgambo wa jiji akuoe nani!??
Mwanamke unapaswa ujiregeze kidogo watu wavutike……!!!
Ata uwe na sura mbovu vp ukivaa stara na kujiregeza watu watakuja tu kutangaza posa….
Pesa hazimpi heshima mwanamke ila ndoa humfanya mwanamke kuwa bora….!!!
Expired weed isn’t good for mental health…
Wanaume mapovu ya nini si kweli lkn kuna wanawake wengi wannnguvu kubwa kwa Sasa hata mkibisha kibiashara kiuongozi pia
Mbona yeye ajapata izo nguvu miaka yake yote
Leo j3 unaikumbuka
Umekuja kufanya nini uku wewe
Kama hajawahi kuolewa atakuwa kubwa la wadhinifu alafu afute iyo kauri yake kama ipo siku wanawake watakuwa na nguvu kuliko sisi wanaume ivi unatujua vizuri wewe wanaume tunatisha Kila siku tuna tumia fomesheni mpyaaaa
Haha kumbehajawaiolewandomaana
Aly M. Salimo tulia Sii ujawahi kuolewa basi Léo j3 ndoa yako
Hahahaahajahahahahja
Anajidanganya Huyo⬆
Akae atafakari na ajiulize Kwann Hawa Alitolewa ktk ubavu wa Mwanaume ADAMU??
Hata kama Hajaolewa Respect Ni jambo la msingi Sana Cz Bila Mwanaume Asingezaliwa…So, Miaka yote Mwanaume Atabaki kuwa kichwa tu na siyo Mkia…
#utapatatabusana bimdashi
Ahahaha eti kujikomaza komaza ka mgambo wa jiji we jamaa hufai wallah
Huyu mama nahisi anazeeka vibaya sasa….mwanamke amzidi mwanaume..???
Kweli mama, mimi nimeshaanza kuyaona hayo.
Huyo mama naomba mumuelewe sometimes siyo yeye ni tatizo lakufa akiwa hana hata ndoa ya siri pia kapigwa saana pumb… Na kutelekezwa
Hiiiiiii kumbe ndio maana lilikuwa lina majibu ya ovyo kwa wabunge wangu wa CDM
Nguvu za kiume au
hiyo nguvu ya kupandikizwa hauoni waya umeshakatwa tafuta kijana wa kukupoza machungu we fala mjanja hadi dunia inakwisha hamtapata uwezo na nguvu kama mwanamume umekimbia kuolewa unadanganya wenzako eti tutakuwa na nguvu nyoooooooooooooo… Njoo uone wasimbe wenzako wanavyoshindia andazi moja na maji uspotoshe umma…
Daaah ww kukaa kote crkalin nafas zote uzopewa alafu eti hujawah olewa io ni aibu kubwa kwako na unazalilisha wenzako hujui tuu. Labda ungesema huna hisia za kimapenzi au km ulitumia mirungi hapo sawa. Km uliota mwanamke atakuwa na nguvu kumshinda mwanaume sahau kuna gape kubwa ata ww unalijua. Hv hujiuliz kwann kwny maandiko hakuna nabii mwanamke na hata vitan ni nadra sana kuona front line kuna askar mwanamke? Mungu akusamehe labda umejisahau
Embu acha porojo zako we bibi tunakueshimu ujue
Ridhiwan Nasri Mwanandege kwann sifai mzee….!!?
Sa we mwAnamke anayejiamin sana unamwoaje!???
Mwanamke anatakiwa awe na upole bhana… Ata kama ana cheo akifika nyumban apoe….
Ni ngumu maana wenyewe hampendani
Moja wapo ya stress za kutokuolewa ndio hiii.ewe binti wa sasa muombe Mungu akupe wako usije ukawa na stress kama za huyu bibi na kuropoka non sense.kumbe si watu wazima wote wenye hekima
Sura mbaya labdaa wewe ndioo utafutee kibenten
Hahahahahahwhqhwhhw
Mmeguswa kunako wanaume Hahaha hahahaha mtapata tabu sana mama wa watu kajionea ya bdaeeee
Maadui watatu aliowataja Nyerere huyu mama anae mmoja
Jidanganye
Ulifanya jambo jema kuolewa sio lazima na sio kusema eti ukiolewa ndo utaenjoy nop ila kuwa na watoto ni muhimu
Mjiwe gizani ngeeeeeee…..!!!!
Povu mwaaaaaaaaah…..!😂😂😂😂😂