Habari
Taarifa kwa madaktari waliokidhi vigezo kwenda kufanya kazi Kenya
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,jinsia na Watoto,Idara kuu ya Aya, inawatangazia madaktari walioomba kufanya kazi nchini Kenya na sasa kuajiriwa hapa nchini Tanzania, kutakiwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi siku ya 14 ya tangazo hili kutoka.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo