Burudani

Tanasha amshukuru Diamond kwa hili, Diamond amjibu

Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya na ambaye ni mama mtoto wa Diamond Platnumz Tanasha Donna ametumia ukurasa wake wa Instagram kumshukuru baba mtoto wake ambaye amemuita Baba Naseeb Diamond Platnumz kwa kuamua kumtambulisha kwenye tasnia ya muziki.

Tanasha ametumia ukurasa huo akimshukuru kwa kumshirikisha kwenye ngoma yake ya Gere na kuufanya mmoja ya wimbo uliosikilizwa zaidi barani Afrika kwa mwaka 2020.

Tanasha alipost na kuambatanisha na hii takwimu lakini akiandika maneno haya:

“Huge thanks! Gere by myself & Baba @naseeb.junior made it to Most viewed African songs on Youtube 2020. Grateful to @diamondplatnumz for believing in me & collaborating with me on such a big tune & to the supporters who’ve supported me & continue to believe in me so far. Cheers to a greater 2021 Inshallah. The dream continues…. 🧚🏽‍♀️❤️”

Bofya hapa chini.

https://www.instagram.com/p/CJrb2zVMtJo/

https://www.instagram.com/p/CJrb2zVMtJo/

Baada ya post hiyo Diamond alimjibu kwa maneno haya:-

“NJ’s MoMy!!! 🔥⛽🚬”

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents