Habari

TANZIA: Msanii Mwana Cotide aliyeimba wimbo wa Chadema afariki dunia, Profesor Jay athibitisha – Video

TANZIA: Msanii Mwana Cotide aliyeimba wimbo wa Chadema afariki dunia, Profesor Jay athibitisha - Video

Fulgence Mapunda almaarufu Mwana Cotide amefariki dunia saa 10:20 usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Alikuwa amelazwa katika Hospitali ya St Monica iliyopo Manzese Jijini Dar alikokuwa akipatiwa matibabu.
Enzi za uhai wake aliimba wimbo wa chama hicho wenye maneno “CHADEMA CHADEMA People’s Power”

https://www.instagram.com/p/B3Tl78Slu0Z/

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents