BurudaniMuziki

TZ Meets Naija: Ben Pol, VJ Adams & G Nako waja na ‘Ningefanyaje Remix’

Baada ya video ya ‘NINGEFANYAJE’ kuzitawala nafasi za juu kabisa kwenye chati za Top 10 East na Africa Rox za kituo Soundcity TV cha Nigeria pamoja na MTV Base, mfalme wa R&B Tanzania, Ben Pol ametoa Offical Remix ya wimbo huo ikiwa ni collabo yake ya kwanza kufanya na msanii kutoka Nigeria.

fin

Katika ‘NINGEFANYAJE REMIX’, Ben Pol amemshirikisha Vj Adams kutoka Nigeria, ambaye pia ni mtangazaji maarufu wa runinga ya Soundcity, pamoja na rapper wa WEUSI, G-Nako.


Remix imetayarishwa na producer Erasto Mashine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents