Michezo
Ujerumani yachukua ubingwa wa kombe la dunia 2014
Timu ya taifa ya Ujerumani imekuwa timu ya kwanza ya kutoka bara Ulaya kutwaa kombe la dunia katika mchuano ulioandaliwa Kusini mwa Marekani.
Ujerumani ilijipatia bao la muda wa ziada la Mario Gotze kuinyamazisha Argentina katika mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa Maracana.
Kufuatia ushindi huo Ujerumani walinyakua taji la nne la dunia.
Kipa Nuer wa Ujerumani alituzwa ”Golden Glover” Huku Messi akituzwa kama mchezaji bora ‘Golden Ball’
Kipa Nuer wa Ujerumani alituzwa ‘Golden Glover’ Huku Messi akituzwa kama mchezaji bora ‘Golden Ball’
Kipa wa Ujerumani Manuel Nuer alitawazwa kuwa kipa bora na akatuzwa ‘Golden Glove2’ na Lionel messi wa Argentina alitawazwa kuwa Mshindi wa tuzo la ‘Golden Ball’.