Burudani
Ukiziona hizi picha za mastaa wa Nigeria lazima utamani kuwa baba
Maisha huwa ya furaha unapokuwa na mafanikio ya kimaisha ukisherehekea na familia yako.
Wasanii wengi wa Nigeria wameonekana huwa ni watu wa kuwa karibu na familia zao wanapokuwa mapumzikoni na kwenye hilo huwa hawajifichi kila kitu hukiwejka wazi wanachokipenda wanapokuwa wamepumzika na familia zao.
Hizi ni baadhi ya picha za mastaa wa Nigeria wakiwa na watoto wao.
Picha ya Peter Okoye akicheza na watoto wake, Cameron na Aliona
Davido akimpa maziwa ya chupa mwanae, Imade Victoria
Ice Prince akiwa na mtoto wake Jamal Zamani
Mr Flavour akiwa na mtoto wake Sophia Okija
Paul Okoye akiwa na mtoto wake Andre
Wizkid akiwa na mtoto wake Boluwatife Balogun
Olamide na mtoto wake Maximilliano Batifeori Adedeji