Habari
UTEUZI: Rais Magufuli amtumbua DC Nachingwea na Mkurugenzi wake
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Rukia Muwango na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Bakari Mohammed uteuzi wao umetenguliwa jana usiku na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wiki iliyopita Rais Magufuli akiwa ziarani wilayani humo, Alikasirishwa na utendaji wa viongozi hao kwa kuchelewesha miradi ya maendeleo. Soma zaidi teuzi nyingine