Habari
Video: Mkutano wa Dkt. Mwakyembe na viongozi wa dini
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe leo amefanya mkutano na viongozi wa dini nchini katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam.
Katika mazungumzo yake Dkt. Mwakyembe amewapongeza viongozi hao kwa kutumia ipaswavyo lugha ya Kiswahili katika mafundisho yao kitu ambacho kinachagia ukuaji nzuri wa lugha hiyo.