Bondia Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe’ @official_dullahmbabe smesema kwa sasa @hassanmwakinyojr ndiyo bondia namba moja lazima wampe maua yake sababu ya kazi kubwa anayofanya kwenye mchezo wa Ngumi yeye ndiyo bondia wa kwanza kuzipeleka ngumi Masaki wakati Zamani walizoea maeneo kama Keko, Manzese lakini pia ndiyo bondia wa kwanza kufika ikulu kwahiyo wampe heshima anaupa hadhi mchezo wa Ngumi.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
MUSIC AUDIO: Cassase – KILIMANJARO1 week ago
-
MUSIC AUDIO: Wakateezo Ft Msami – MUZIKI2 weeks ago