Burudani
Video: Samata A afunguka kuhusu muziki wake, na namna alivyo wavuruga Man Walter na Mr Ttouch
Msanii wa muziki Samata A ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo Wansusu, amefunguka kuhumu muziki wake pamoja na namna alivyowachanganya maproducer wawili, Mr Ttouch pamoja na Man Walter katika ngoma moja.
Noma Sana’a daaaah
So nice handsome boy