Habari

Wananchi Mbalali wajitokeza kwa wingi kupiga kura

Wananachi wa Jimbo la Mbalali wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya kupiga kura kwaajili ya kushiriki uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo hilo na udiwani wa Kata sita za Tanzania Bara ambao unafanyika leo.

Takribani wapigakura 216,282 walioandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura wanapiga kura leo.

Ambapo uchaguzi utahusisha vituo 580 vya kupiga kura na uchaguzi huo unaendelea kwa amani na utulivu katika maeneo hayo.

Written by Janeth Jovin

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents