Burudani

21 Savage na Amber Rose hakuna siri tena

21 Savage ameamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi. Rapper huyo wa Marekani ameamua kuweka wazi mahusiano yake na mwanamitindo Amber Rose.

Wiki iliyopita stori za wawili hao kuwa wapenzi zilisambaa sehemu mbalimbali huku mtandao wa TMZ, ukithibitisha kuwa Savage (24) ameonekana akimpeleka mrembo huyo mwenye um wa miaka 33, nyumbani kwa wazazi wake kumtambulisha pamoja na familia yake kwa ujumla.

Akiongea katika mahojiano na kituo cha radio cha Real 92.3, rapper huyo amesema, “That’s my girl, for sure,” he said. We just been kickin’ it. She’s a real cool woman, she treats me like a king, so it is what it is, but no disrespect will be tolerated at all. Keep your mouth closed, no hoes, no bitches, no nothin’, ’cause I’m pullin’ up, on God.”

“She make me do shit that I don’t normally do,” he explained, “like take vitamins and drink water. We sit at the pool, we talk, we watch documentaries, we go out, we eat. I give her massages, chocolate, flowers, new purses, diamonds,” ameongeza.

“I ain’t talk to Wiz yet. It ain’t no disrespect. I ain’t really around [Sebastian] though. That was just some shit, motherfuckers taking pictures. But at the same token, Wiz a great father. I’m not trying take nothing away from what Wiz do. But if you gon’ be with a woman, you have to accept her child just like she’s gonna have to accept my kids. But I’m not on no step daddy-type shit or no shit like that. He cool though,” amesisitiza Savage.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents