Burudani

Alikiba ampiga mkwara mzito Mbwana Samatta (+video)

Licha ya kupokonywa kocha Jamhuri Kihwelo Julio, msanii Alikiba amempiga mkwara mchezaji wa Taifa Stars na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta, ambaye wanatarajiwa kukutana kwenye mchezo wao wa hisani wa kuchangia elimu ambao utafanyika Jumamosi ya Juni 9 mwaka huu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents