Burudani
Anti Virus na Dewaika ndani ya Posta Kijitonyama
Mbunge wa Mbeya mjini Sugu anatarajia kuongoza kundi la wasanii wa muziki wa kizazi kipya Vinega, ambao walifanya albamu ya Ant Virus katika tamasha la Muziki unalipa, lililoandaliwa na kampuni ya Dewaika Entertaiment, katika viwanja vya Posta Kijito nyama.
Tamasha hilo litakusanya wasanii mbalimbali, ambao wamo kwenye Ant Virus namba moja na Ant Virus II, siku ya Nov 26 mwaka huu huku wakitoa kauli yao kwamba burudani kwa mashabiki..
Kulia ni Sugu na mratibu wa kampuni ya Deiwaka siku ya uzinduzi wa Ant Vilrus namba One.
Wasanii walioperform Ant Virus namba moja, hapa wakiwa kwenye mipango ya picha baada ya kumwaga jasho jukwaani
Sugu akiimba moja ya wimbo wake..