Michezo
Arsenal wakamilisha usajili wa mshambuliaji Lucas Perez kutoka Deportivo La Coruna.
klabu ya Arsenal ya England imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Hispania aliyekuwa anaichezea Deporivo La Coruna Lucas Perez.
Perez mwenye umri wa miaka (27), amesajiliwa kwa dau la pound milioni 17.1 ambazo ni zaidi ya bilioni 49 za Kitanzania, amejiunga na Arsenal kwa mkataba wa miaka minne.