BurudaniUncategorized

Beyonce awaweka hadharani mapacha wake

Beyonce ameamua kuwaonyesha hadharani watoto wake mapacha.

Muimbaji huyo kupitia mtandao wa Instagram, ameonyesha kuwa watoto hao wana mwezi mmoja tangu wamezaliwa.

“Sir Carter and Rumi 1 month today. ??❤️??????????,” ameandika Queen Bey kwenye mtandao huo.

Mapacha hao waliozaliwa ni mmoja wa kike na mwingine wakiume na tayari walishapewa majina ya Sir na Rumi Carter.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents