Michezo

Bongo Flava yaikalisha Bongo movie kwenye tamasha la matumanini chini ya Vodacom Tanzania

001.TAIFA
Msanii wa kunyanyua vitu vizito, Maisala Juma akionyesha umahiri wake wa kufanya mazoezi wakati wa Tamasha la Matumaini lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana

002.TAIFA
Msanii wa muziki wa nyimbo za dini kutoka mbeya Ambwene Mwasongwe,akiimba na kukongonga nyoyo za mashabiki wa nyimbo zake wakati wa Tamasha la Matumaini lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana

004.TAIFA
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamefurika katika Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na Global Publishers na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kuazimisha sikukuu ya Nanenane katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana

005.TAIFA
Wachezaji wa Timu ya Bongo Fleva wakisamiliana na wachezaji wa Bongo Movie kabla ya mechi yao kuanza katika Tamasha la Matumaini

006.TAIFA
Kikosi cha Bongo Movie kilichokikabili kikosi cha Bongo Flava

009.TAIFA

008.TAIFA

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents