Michezo

BREAKING: Man City mabingwa wapya Ligi Kuu Soka England, Liverpool wakosa kombe la kwanza kubwa 2018/19

Klabu ya Man City imefanikiwa kutetea kombe la ligi Kuu Soka England kwa ushindi wa goli 4-1 dhidi ya Brighton kwa jumla ya alama 98 na kuiacha Liverpool nyuma ya alama 97.

Ushindi huo kwa sasa unawafanya Liverpool wakose taji hilo kwa zaidi ya miaka 18.

Updates

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents