Habari
Comorien amuenzi Amina Chifupa, atunga wimbo
Msanii Said Comorien ametunga wimbo maalumu kwa ajili ya kumuenzi marehemu Amina Chifupa unaokwenda kwa jina la Kalale Pema ‘, bofya hapa kusikiliza wimbo.
Msanii Said Comorien ametunga wimbo maalumu kwa ajili ya kumuenzi marehemu Amina Chifupa unaokwenda kwa jina la Kalale Pema ‘, imefahamika.
Alisema kuwa ameguswa na kifo cha kijana mwenzake ambaye aliweza kuwa mstari wa mbele katika kuwatetea vijana hivyo ameamua kutunga wimbo huo, ikiwa ni njia mojawapo ya kumkumbuka.
Bofya hapa kusikiliza wimbo
{play}said_comorien_kalale_pema.mp3{/play}
{play}said_comorien_kalale_pema.mp3{/play}